Mshambuliaji wa Arsenal Nicklas Bendtner ambaye kwa sasa anasugua benchi ametoa ya moyoni kwa kusema kwa hadhi yake hastahili kuwekwa benchi arsenal.
Tangu arudi uwanjani msimu huu mshambuliaji huyo amechiza dakika 38 katika ligi kuu na dakika 5 pekee katika mechi za Champion Ligi.




0 comments:
Chapisha Maoni