The reliable source of sport news

Ijumaa, Agosti 23, 2013

SPURS YAUA 5-0 ULAYA...BALE WA NINI TENA NA AENDE ZAKE

23.8.13 By Kapoma No comments

BORA kwako kucheza kwenye Uwanja usio na mashabiki wa kutosha Tbilisi, au kuhamia Bernabeu Madrid? 
Unataka kucheza Ligi ya Mabingwa au Europa League? Usiku wa Jumatano katika ITV1 au Alhamisi usiku katika ITV4? Huna akili, sawa? 
Hiyo ndiyo picha ya Gareth Bale mjini London Alhamisi usiku, akiangalia wachezaji wenzake kwenye TV wakicheza mechi ya kwanza ya Europa League kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la UEFA ndogo dhidi ya Dinamo Tbilisi.
Dinamo Tbilisi: Loria, Khurtsilava, Giorgi Gvelesiani, Kvaratskhelia, Glisic (Papava 46), Grigalashvili, Dzaria, Kvirkvelia, Merebashvilli, Xisco (Vouho 42), Dvali. 
Katika mchezo huo, ilishinda 5-0, mabao yake yakiwekwa nyavuni na Townsend dakika ya 12, Paulinho dakika ya 44, Soldado dakika ya 58 na 67 na Rose dakika ya 64.
Kikosi cha Spurs jana kilikuwa: Lloris, Naughton, Dawson, Kaboul, Rose, Paulinho/Carroll dk71, Dembele, Capoue, Sigurdsson/Chadli dk61, Townsend, Soldado/Kane dk71. 
Double act: Roberto Soldado (left) hit two and Paulinho got on the scoresheet as new-look Spurs shone
Mawili nyavuni: Roberto Soldado (kushoto) alifunga mawili na Paulinho alifunga pia
Delight: Andros Townsend (right) celebrates with Soldado after putting Spurs ahead
Mtu wa raha: Andros Townsend (kulia) akishangilia na Soldado 
Cool finish: Soldado strokes Spurs' third past Giorgi Loria to put them 3-0 up
Soldado akiifungia bao la tatu Spurs
Screamer: Danny Rose hit a rasping shot for the pick of the goals, giving Spurs a 4-0 lead
Danny Rose akifunga
Clinical: Soldado steers Nacer Chadli's cross beyond Loria
Soldado akimtungua Nacer Chadli kwa krosi ya Loria
All white on the night: Spurs celebrate Rose's goal
Jezi nyeupe zinang'ara: Spurs wakishangilia bai la Rose
Aerial attack: Paulinho attempts a bicycle kick in the Dinamo box
Anabinuka: Paulinho anabinuka kupiga mpira mbele ya mchezaji wa Dinamo kwenye boksi

0 comments:

Chapisha Maoni